1
Luka MT. 18:1
New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921
SWZZB1921
AKAWAAMBIA na mfano ya kama imewapasa kumwomba Mungu siku zote wala wasikate tamaa
Paghambingin
I-explore Luka MT. 18:1
2
Luka MT. 18:7-8
Bassi Mungu je! hatawapatia haki wateule wake wanaomlilia mchana na usiku, nae ni mvumilivu kwao? Nawaambieni atawapatia haki upesi. Walakini Mwana wa Adamu atakapokuja, je! ataiona imani duniani?
I-explore Luka MT. 18:7-8
3
Luka MT. 18:27
Akasema, Yasiyowezekana kwa wana Adamu, yawezekana kwa Mungu.
I-explore Luka MT. 18:27
4
Luka MT. 18:4-5
Nae hakukubali muda wa siku kadha wa kadha; khalafu akasema moyoni mwake, Ijapokuwa mimi simchi Mungu wala sijali mtu; illakini kwa kuwa mjane huyu ameniudhi, nitampatia haki yake, asije akanidhoofisha kwa kunijia daima.
I-explore Luka MT. 18:4-5
5
Luka MT. 18:17
Amin, nawaambieni, Yeye yote asiyeukubali ufalme wa Mungu kama mtoto, hatauingia kamwe.
I-explore Luka MT. 18:17
6
Luka MT. 18:16
Bali Yesu akawaita waje kwake, akisema, Waacheni watoto waje kwangu, kwa maana watu kama hawo ufalme wa Mungu ni wao.
I-explore Luka MT. 18:16
7
Luka MT. 18:42
Yesu akamwambia, Upewe kuona imani yako imekuponya.
I-explore Luka MT. 18:42
8
Luka MT. 18:19
Yesu akamwambia, Mbona waniita mwema? Hakuna mwema illa mmoja ndiye Mungu.
I-explore Luka MT. 18:19
Home
Biblia
Mga Gabay
Mga Palabas