1
Marko MT. 13:13
New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921
SWZZB1921
Nanyi mtachukiwa na watu wote kwa ajili ya jina langu; lakini mwenye kustahimili hatta mwisho, ndiye atakaeokoka.
ஒப்பீடு
Marko MT. 13:13 ஆராயுங்கள்
2
Marko MT. 13:33
Angalieni, kesheni, ombeni, kwa kuwa hamjui wakati ule utakapokuwa.
Marko MT. 13:33 ஆராயுங்கள்
3
Marko MT. 13:11
Na watakapowachukueni, na kuwateni katika mikono ya watu, msianze kuwaza mtakayosema, wala msishughulike: lakini lo lote mtakalopewa saa ile, lisemeni: kwa maana si ninyi mseniao, hali Roho Mtakatifu.
Marko MT. 13:11 ஆராயுங்கள்
4
Marko MT. 13:31
Mbingu na inchi zitapita: maneno yangu hayatapita kamwe.
Marko MT. 13:31 ஆராயுங்கள்
5
Marko MT. 13:32
Lakini khabari ya siku ile na saa ile hakuna aijuae, hatta malaika walio mbinguni, wala Mwana, illa Baba.
Marko MT. 13:32 ஆராயுங்கள்
6
Marko MT. 13:7
Tena mtakaposikia vita na khabari za vita, msitishwe: maana hayana buddi kutukia, lakini mwisho wenyewe bado.
Marko MT. 13:7 ஆராயுங்கள்
7
Marko MT. 13:35-37
Kesheni bassi, kwa maana hamjui ajapo bwana wa nyumba, kwamba ni jioni, au usiku wa manane, au awikapo jogoo, an assubuhi: asije akawasili ghafula akawakuta mmelala. Na hilo niwaambialo ninyi, nawaambia Wote, Kesheni.
Marko MT. 13:35-37 ஆராயுங்கள்
8
Marko MT. 13:8
Taifa litaondoka kupigana na taifa, na ufalme utapigana na ufalme: kutakuwa na matetemeko ya inchi mahali mahali; kutakuwa na njaa, na fitina: Hayo ndio mwanzo wa utungu.
Marko MT. 13:8 ஆராயுங்கள்
9
Marko MT. 13:10
Tena sharti Injili ikhubiriwe kwanza katika mataifa yote.
Marko MT. 13:10 ஆராயுங்கள்
10
Marko MT. 13:6
Mimi ndiye: na watadanganya wengi.
Marko MT. 13:6 ஆராயுங்கள்
11
Marko MT. 13:9
Nanyi jihadharini nafsi zenu; maana watawapelekeni maharazani: na katika masunagogi mtapigwa: na mtachukuliwa mbele za maliwali na wafalme kwa ajili yangu, kuwa ushuhuda kwao.
Marko MT. 13:9 ஆராயுங்கள்
12
Marko MT. 13:22
kwa maana wataondoka Makristo wa nwongo, na manabii wa uwongo, watatoa ishara na ajabu, wapate kuwadanganya, kama yumkini, hatta wale wateule.
Marko MT. 13:22 ஆராயுங்கள்
13
Marko MT. 13:24-25
Lakini siku hizo baada ya shidda ile jua litatiwa giza, na mwezi hautatoa mwanga wake, na nyota za mbinguni zitakuwa zikianguka, na nguvu zilizo mbinguni zitatikisika.
Marko MT. 13:24-25 ஆராயுங்கள்
முகப்பு
வேதாகமம்
வாசிப்புத் திட்டங்கள்
காணொளிகள்