1
Marko MT. 11:24
New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921
SWZZB1921
Kwa sababu biyo nawaambieni, Yo yote myaombayo mkisali, aminini ya kwamba mnayapokea nayo yatakuwa yenu.
ஒப்பீடு
Marko MT. 11:24 ஆராயுங்கள்
2
Marko MT. 11:23
Amin, nawaambieni, Ye yote atakaenambia mlima huu, Ngʼoka ukatupwe baharini, asione shaka moyoni mwake, bali aamini kwamba hayo asemayo yamekuwa, yatamtukia hayohayo aliyosema.
Marko MT. 11:23 ஆராயுங்கள்
3
Marko MT. 11:25
Nanyi, killa msimamapo na kusali, sameheni, kama mkiwa na neno juu ya mtu: illi Baba yenu aliye mbinguni awasamehe na ninyi makosa yenu.
Marko MT. 11:25 ஆராயுங்கள்
4
Marko MT. 11:22
Yesu akajibu, akamwambia, Mwe na imani kwa Mungu
Marko MT. 11:22 ஆராயுங்கள்
5
Marko MT. 11:17
Akafundisha, akiwaambia, Haikuandikwa, Nyumba yangu itaitwa nyumba ya sala kwa mataifa yote? Bali nanyi mmeifanya kuwa pango ya wanyangʼanyi.
Marko MT. 11:17 ஆராயுங்கள்
6
Marko MT. 11:9
Watu waliotangulia na wale waliofuata wakapaaza sauti zao, wakinena, Utuokoe sasa; amebarikiwa ajae kwa jina la Bwana
Marko MT. 11:9 ஆராயுங்கள்
7
Marko MT. 11:10
umebarikiwa ufalme ujao kwa jina la Bwana, ufalme wa baba yetu Daud. Utuokoe sasa, wewe uliye juu.
Marko MT. 11:10 ஆராயுங்கள்
முகப்பு
வேதாகமம்
வாசிப்புத் திட்டங்கள்
காணொளிகள்