1
Mattayo MT. 26:41
New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921
SWZZB1921
Kesheni, kaombeni, msije mkaingia majaribuni: Roho ina nia njema, bali mwili ni dhaifu.
ஒப்பீடு
Mattayo MT. 26:41 ஆராயுங்கள்
2
Mattayo MT. 26:38
Ndipo akawaambia, Roho yangu ina huzuni nyingi kiasi cha kufa; kaeni hapa, mkakeshe pamoja nami.
Mattayo MT. 26:38 ஆராயுங்கள்
3
Mattayo MT. 26:39
Akaendelea mbele kidogo, akaanguka kifudifudi, akiomba, akinena, Baba yangu, ikiwezekana, kikombe hiki kinipitie; walakini si kama nitakavyo mimi, bali kama utakavyo wewe.
Mattayo MT. 26:39 ஆராயுங்கள்
4
Mattayo MT. 26:28
maana hii ni damu yangu ya agano jipya, imwagikayo kwa ajili ya wengi kwa ondoleo la dhambi.
Mattayo MT. 26:28 ஆராயுங்கள்
5
Mattayo MT. 26:26
Walipokuwa wakila, Yesu akatwaa mkate, akaubariki, akaumega, akawapa wanafunzi wake, akasema, Twaeni, mle; huu ni mwili wangu.
Mattayo MT. 26:26 ஆராயுங்கள்
6
Mattayo MT. 26:27
Akatwaa kikombe, akashukuru, akawapa, akinena, Nyweeni nyote hiki
Mattayo MT. 26:27 ஆராயுங்கள்
7
Mattayo MT. 26:40
Kisha akawaendea wale wanafunzi, akawakuta wamelala, akamwambia Petro, Je! hamkuweza kukesha pamoja nami hatta saa moja?
Mattayo MT. 26:40 ஆராயுங்கள்
8
Mattayo MT. 26:29
Lakini nawaambieni, Sitakunywa kabisa tangu leo nzao huu wa mzabibu, hatta siku ile nitakapounywa mpya pamoja nanyi katika ufalme wa Baba yangu.
Mattayo MT. 26:29 ஆராயுங்கள்
9
Mattayo MT. 26:75
Petro akalikumbuka lile neno la Yesu aliloambiwa nae, Kabla ya kuwika jogoo, utanikana marra tatu. Akatoka nje, akalia kwa majonzi.
Mattayo MT. 26:75 ஆராயுங்கள்
10
Mattayo MT. 26:46
Ondokeni, twende zetu. Angalieni, anaenisaliti anakaribia.
Mattayo MT. 26:46 ஆராயுங்கள்
11
Mattayo MT. 26:52
Yesu akamwambia, Rudisha upanga wako mahali pake: maana wote washikao upanga, wataangamia kwa upanga.
Mattayo MT. 26:52 ஆராயுங்கள்
முகப்பு
வேதாகமம்
வாசிப்புத் திட்டங்கள்
காணொளிகள்