Tafuta matokeo ya: Mathayo 6:33
Mathayo 12:6 (BHN)
Basi, nawaambieni kwamba hapa pana kikuu kuliko hekalu.
Mathayo 13:6 (BHN)
Jua lilipochomoza, ziliteketea; na kwa kuwa mizizi yake haikuwa na nguvu, zikanyauka.
Mathayo 16:6 (BHN)
Yesu akawaambia, “Muwe macho na mjihadhari na chachu ya Mafarisayo na Masadukayo!”
Mathayo 19:6 (BHN)
Kwa hiyo, wao si wawili tena bali mwili mmoja. Basi, alichounganisha Mungu, binadamu asikitenganishe.”
Mathayo 20:6 (BHN)
Hata mnamo saa kumi na moja jioni, akatoka tena; akakuta watu wengine wamesimama pale sokoni. Basi, akawauliza, ‘Mbona mmesimama hapa mchana kutwa bila kazi?’
Mathayo 21:6 (BHN)
Hivyo, wale wanafunzi walikwenda wakafanya kama Yesu alivyowaagiza.
Mathayo 23:6 (BHN)
Hupenda nafasi za heshima katika karamu na viti vya heshima katika masunagogi.
Mathayo 25:6 (BHN)
Usiku wa manane kukawa na kelele: ‘Haya, haya! Bwana arusi anakuja; nendeni kumlaki.’
Mathayo 8:6 (BHN)
akisema, “Bwana, mtumishi wangu amelala nyumbani, mgonjwa wa kupooza na anaumwa sana.”
Mathayo 9:6 (BHN)
Basi, nataka mjue kwamba Mwana wa Mtu anao uwezo duniani wa kuwasamehe watu dhambi.” Hapo akamwambia huyo mtu aliyepooza, “Inuka, chukua kitanda chako, uende nyumbani kwako.”
Mathayo 11:6 (BHN)
Heri mtu yule ambaye hana mashaka nami.”
Mathayo 14:6 (BHN)
Katika sherehe za sikukuu ya kuzaliwa kwake Herode, binti ya Herodia alicheza mbele ya wageni. Herode alifurahiwa,
Mathayo 15:6 (BHN)
basi, hapaswi tena kumheshimu baba yake! Ndivyo mnavyodharau neno la Mungu kwa kufuata mafundisho yenu wenyewe.
Mathayo 17:6 (BHN)
Wanafunzi waliposikia hivyo wakaanguka kifudifudi, wakaogopa sana.
Mathayo 18:6 (BHN)
“Yeyote atakayemkosesha mmoja wa hawa wadogo wanaoniamini, ingekuwa afadhali afungwe shingoni jiwe kubwa la kusagia na kuzamishwa kwenye kilindi cha bahari.
Mathayo 22:6 (BHN)
na wengine wakawakamata wale watumishi wakawatukana, wakawaua.
Mathayo 24:6 (BHN)
Mtasikia juu ya vita na fununu za vita; lakini msifadhaike, maana hayo hayana budi kutokea, lakini mwisho wenyewe ungali bado.
Mathayo 26:6 (BHN)
Yesu alipokuwa Bethania, nyumbani kwa Simoni, aitwaye Mkoma,
Mathayo 27:6 (BHN)
Makuhani wakuu wakazichukua zile fedha, wakasema, “Haifai kuziweka katika hazina ya hekalu kwa maana ni fedha za damu.”
Mathayo 28:6 (BHN)
Hayupo hapa maana amefufuka kama alivyosema. Njoni mkaone mahali alipokuwa amelala.
Kumbukumbu la Sheria 33:6 (BHN)
Mose alisema juu ya kabila la Reubeni: “Reubeni aishi wala asife, na watu wake wasiwe wachache.”
2 Mambo ya Nyakati 33:6 (BHN)
Pia aliwatoa wanawe kama sadaka ya kuteketeza katika bonde la mwana wa Hinomu. Alipiga ramli, alibashiri na alitumia hirizi; hata alishirikiana na waaguzi wa mizimu na wachawi. Alitenda maovu mengi mbele ya Mwenyezi-Mungu, akamkasirisha.
Mathayo 7:7 (BHN)
“Ombeni, nanyi mtapewa; tafuteni, nanyi mtapata; bisheni mlango, nanyi mtafunguliwa.
Mathayo 22:37 (BHN)
Yesu akamjibu, “ ‘Mpende Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote, kwa roho yako yote na kwa akili yako yote’.
Mathayo 5:16 (BHN)
Vivyo hivyo, ni lazima mwanga wenu uangaze mbele ya watu, ili wayaone matendo yenu mema, wamtukuze Baba yenu aliye mbinguni.