Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Tafuta matokeo ya: Mathayo 6:33

Mathayo 12:6 (BHN)

Basi, nawaambieni kwamba hapa pana kikuu kuliko hekalu.

Mathayo 13:6 (BHN)

Jua lilipochomoza, ziliteketea; na kwa kuwa mizizi yake haikuwa na nguvu, zikanyauka.

Mathayo 16:6 (BHN)

Yesu akawaambia, “Muwe macho na mjihadhari na chachu ya Mafarisayo na Masadukayo!”

Mathayo 19:6 (BHN)

Kwa hiyo, wao si wawili tena bali mwili mmoja. Basi, alichounganisha Mungu, binadamu asikitenganishe.”

Mathayo 20:6 (BHN)

Hata mnamo saa kumi na moja jioni, akatoka tena; akakuta watu wengine wamesimama pale sokoni. Basi, akawauliza, ‘Mbona mmesimama hapa mchana kutwa bila kazi?’

Mathayo 21:6 (BHN)

Hivyo, wale wanafunzi walikwenda wakafanya kama Yesu alivyowaagiza.

Mathayo 23:6 (BHN)

Hupenda nafasi za heshima katika karamu na viti vya heshima katika masunagogi.

Mathayo 25:6 (BHN)

Usiku wa manane kukawa na kelele: ‘Haya, haya! Bwana arusi anakuja; nendeni kumlaki.’

Mathayo 8:6 (BHN)

akisema, “Bwana, mtumishi wangu amelala nyumbani, mgonjwa wa kupooza na anaumwa sana.”

Mathayo 9:6 (BHN)

Basi, nataka mjue kwamba Mwana wa Mtu anao uwezo duniani wa kuwasamehe watu dhambi.” Hapo akamwambia huyo mtu aliyepooza, “Inuka, chukua kitanda chako, uende nyumbani kwako.”

Mathayo 11:6 (BHN)

Heri mtu yule ambaye hana mashaka nami.”

Mathayo 14:6 (BHN)

Katika sherehe za sikukuu ya kuzaliwa kwake Herode, binti ya Herodia alicheza mbele ya wageni. Herode alifurahiwa,

Mathayo 15:6 (BHN)

basi, hapaswi tena kumheshimu baba yake! Ndivyo mnavyodharau neno la Mungu kwa kufuata mafundisho yenu wenyewe.

Mathayo 17:6 (BHN)

Wanafunzi waliposikia hivyo wakaanguka kifudifudi, wakaogopa sana.

Mathayo 18:6 (BHN)

“Yeyote atakayemkosesha mmoja wa hawa wadogo wanaoniamini, ingekuwa afadhali afungwe shingoni jiwe kubwa la kusagia na kuzamishwa kwenye kilindi cha bahari.

Mathayo 22:6 (BHN)

na wengine wakawakamata wale watumishi wakawatukana, wakawaua.

Mathayo 24:6 (BHN)

Mtasikia juu ya vita na fununu za vita; lakini msifadhaike, maana hayo hayana budi kutokea, lakini mwisho wenyewe ungali bado.

Mathayo 26:6 (BHN)

Yesu alipokuwa Bethania, nyumbani kwa Simoni, aitwaye Mkoma,

Mathayo 27:6 (BHN)

Makuhani wakuu wakazichukua zile fedha, wakasema, “Haifai kuziweka katika hazina ya hekalu kwa maana ni fedha za damu.”

Mathayo 28:6 (BHN)

Hayupo hapa maana amefufuka kama alivyosema. Njoni mkaone mahali alipokuwa amelala.

Kumbukumbu la Sheria 33:6 (BHN)

Mose alisema juu ya kabila la Reubeni: “Reubeni aishi wala asife, na watu wake wasiwe wachache.”

2 Mambo ya Nyakati 33:6 (BHN)

Pia aliwatoa wanawe kama sadaka ya kuteketeza katika bonde la mwana wa Hinomu. Alipiga ramli, alibashiri na alitumia hirizi; hata alishirikiana na waaguzi wa mizimu na wachawi. Alitenda maovu mengi mbele ya Mwenyezi-Mungu, akamkasirisha.

Mathayo 7:7 (BHN)

“Ombeni, nanyi mtapewa; tafuteni, nanyi mtapata; bisheni mlango, nanyi mtafunguliwa.

Mathayo 22:37 (BHN)

Yesu akamjibu, “ ‘Mpende Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote, kwa roho yako yote na kwa akili yako yote’.

Mathayo 5:16 (BHN)

Vivyo hivyo, ni lazima mwanga wenu uangaze mbele ya watu, ili wayaone matendo yenu mema, wamtukuze Baba yenu aliye mbinguni.