Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

2 Mambo ya Nyakati 33:6

2 Mambo ya Nyakati 33:6 BHN

Pia aliwatoa wanawe kama sadaka ya kuteketeza katika bonde la mwana wa Hinomu. Alipiga ramli, alibashiri na alitumia hirizi; hata alishirikiana na waaguzi wa mizimu na wachawi. Alitenda maovu mengi mbele ya Mwenyezi-Mungu, akamkasirisha.