Tafuta matokeo ya: Mathayo 6:33
Mathayo 6:27 (BHN)
Ni nani miongoni mwenu kwa kuwa na wasiwasi sana anaweza kuuongeza muda wa maisha yake?
Mathayo 6:28 (BHN)
“Na kuhusu mavazi, ya nini kuwa na wasiwasi? Tazameni maua ya porini jinsi yanavyostawi. Hayafanyi kazi wala hayasokoti.
Mathayo 6:29 (BHN)
Lakini nawaambieni, hata Solomoni mwenyewe na fahari zake zote hakupata kuvikwa vizuri kama ua mojawapo.
Mathayo 6:1 (BHN)
“Jihadharini msije mkafanya matendo yenu mema mbele ya watu kusudi mwonekane nao. La sivyo, Baba yenu aliye mbinguni hatawapeni tuzo.
Mathayo 6:2 (BHN)
“Basi, unapomsaidia maskini, usijitangaze. Usifanye kama wanafiki wafanyavyo katika masunagogi na njiani ili watu wawasifu. Kweli nawaambieni, hao wamekwisha pata tuzo lao.
Mathayo 6:4 (BHN)
Toa msaada wako kwa siri, na Baba yako aonaye yaliyofichika, atakutuza.
Mathayo 6:5 (BHN)
“Mnaposali, msifanye kama wanafiki. Wao hupenda kusimama na kusali katika masunagogi na katika pembe za njia ili watu wawaone. Kweli nawaambieni, hao wamekwisha pata tuzo lao.
Mathayo 6:7 (BHN)
“Mnaposali, msipayuke maneno kama watu wasiomjua Mungu. Wao hudhani kwamba Mungu atawasikiliza ati kwa sababu ya maneno mengi.
Mathayo 6:8 (BHN)
Msiwe kama wao. Baba yenu anajua mnayoyahitaji hata kabla ya kumwomba.
Marko 6:33 (BHN)
Lakini watu wengi waliwaona wakienda, wakawatambua. Hivyo wengi wakatoka katika kila mji, wakakimbilia huko Yesu na wanafunzi wake walikokuwa wanakwenda, wakawatangulia kufika.
Luka 6:33 (BHN)
Tena, kama mkiwatendea mema wale tu wanaowatendeeni mema, mtapata tuzo gani? Hata wenye dhambi hufanya hayo.
Yohane 6:33 (BHN)
Maana mkate wa Mungu ni yule ashukaye kutoka mbinguni na aupaye ulimwengu uhai.”
Methali 6:33 (BHN)
Atapata majeraha na madharau; fedheha atakayopata haitamtoka.
Waamuzi 6:33 (BHN)
Wamidiani, Waamaleki na watu wote wanaokaa kando ya mto Yordani wakapiga kambi zao katika bonde la Yezreeli.
2 Wafalme 6:33 (BHN)
Kabla hata hajamaliza kusema, mfalme akafika, akasema, “Msiba huu umetoka kwa Mwenyezi-Mungu! Kwa nini niendelee kumngojea tena?”
1 Wafalme 6:33 (BHN)
Hali kadhalika, alitengeneza mlango wa mraba wa kuingia sebuleni. Miimo ya mlango huo ilikuwa ya mizeituni,
Mathayo 10:33 (BHN)
Lakini yeyote atakayenikana mbele ya watu, nami nitamkana mbele ya Baba yangu aliye mbinguni.
Mathayo 13:33 (BHN)
Yesu akawaambia mfano mwingine: “Ufalme wa mbinguni umefanana na chachu aliyotwaa mama mmoja, akaichanganya na unga madebe mawili na nusu, hata unga wote ukaumuka.”
Mathayo 14:33 (BHN)
Wote waliokuwa ndani ya mashua walimsujudia, wakasema, “Hakika wewe ni Mwana wa Mungu.”
Mathayo 15:33 (BHN)
Wanafunzi wakamwambia, “Hapa tuko nyikani; tutapata wapi chakula cha kuwatosha watu wengi hivi?”
Mathayo 18:33 (BHN)
Je, haikukupasa nawe kumhurumia mtumishi mwenzako kama nilivyokuhurumia?’
Mathayo 20:33 (BHN)
Wakamjibu, “Bwana, tunaomba macho yetu yafumbuliwe.”
Mathayo 21:33 (BHN)
Yesu akasema, “Sikilizeni mfano mwingine. Mtu mmoja mwenye nyumba alilima shamba la mizabibu; akalizungushia ukuta, akachimba kisima cha kusindikia divai, akajenga humo mnara pia. Kisha akalikodisha kwa wakulima, akasafiri kwenda hadi nchi ya mbali.
Mathayo 22:33 (BHN)
Ule umati wa watu uliposikia hivyo ukayastaajabia mafundisho yake.
Mathayo 23:33 (BHN)
Enyi kizazi cha nyoka wenye sumu! Mnawezaje kuiepa hukumu ya moto wa Jehanamu?