Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Maelezo ya mpango

Soma Biblia Kila Siku Desemba 2021Mfano

Soma Biblia Kila Siku Desemba 2021

SIKU 26 YA 31

Mfiadini ni mtu anayekubali kutetea Ukristo kwa kufa kwa ajili ya imani yake. Katika Biblia kuna watu wengi waliokubali kufa hivyo; miongoni mwao Stephano huhesabiwa kuwa wa kwanza. Kumbuka, Bwana Yesu alikufa kwa ajili ya kuwaokoa wanadamu mikononi mwa shetani. Je, tunajifunza nini? Yohana anatukumbusha, uwe mwaminifu hata kufa, nami nitakupa taji ya uzima (Ufunuo 2:10b). Sisi leo pia tuwe tayari kuutetea Ukristo. Kila mmoja wetu na awe tayari kuvumilia magumu yote kwa sababu ya imani. Kama upo tayari kuteswa kwa ajili ya Kristo, Mungu akubariki kwa utayari wako.

siku 25siku 27

Kuhusu Mpango huu

Soma Biblia Kila Siku Desemba 2021

Soma Biblia Kila Siku Desemba 2021 ni mpango mzuri wa kusoma biblia sehemu kwa sehemu kila siku kwa mwezi wa Desemba, pamoja na ufafanuzi mfupi wa kukusaidia kuelewa na kutafakari zaidi Neno la Mungu. Katika mpango huu u...

More

Tungependa kuwashukuru Soma Biblia kwa kutoa mpango huu. Kwa habari zaidi, tafadhali tembelea: http://www.somabiblia.or.tz/

YouVersion hutumia vidakuzi kubinafsisha matumizi yako. Kwa kutumia tovuti yetu, unakubali matumizi yetu ya vidakuzi kama ilivyoelezwa katika Sera yetu ya Faragha