Soma Biblia Kila Siku 9Mfano

Mungu athamini maagano tunayofanyiana sisi kwa sisi. Biblia yaonyesha kuwa Mungu ni wa maagano kati yake na watu wake. Daima anajali upande wake katika maagano kwa kutimiza ahadi. Nasi tufanye vivyo hivyo. Kama huwezi, njia ni hii moja: Umsihi mara moja uliyemdhamini ili akupe uhuru wako. Kama sivyo, umefungwa. Uvivu ni chanzo cha umaskini. Mungu hapendezwi na wavivu. Pia suala la uzururaji huzaa umbea na uzushi. Tuepuke! Vilevile twaaswa kuepuka kiburi, udanganyifu, uongo na mauaji.
Andiko
Kuhusu Mpango huu

Soma Biblia Kila Siku 9 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia sehemu kwa sehemu na kupata maelezo mafupi ya kukusaidia kuendelea kutafakari na kuelewa Neno la Mungu. Mpango huu unagusa zaidi Kumbukumbu la Torati, Warumi na Mithali
More
Tunapenda kumshukuru Soma Biblia kwa kutoa mpango huu. Kwa habari zaidi, tafadhali tembelea: http://www.somabolimo.or.tz
Mipangilio yanayo husiana

Soma Biblia Kila Siku 12

SOMA BIBLIA KILA SIKU 01/20

BibleProject | Safari ya Kujifunza Kutoka Luka Na Matendo

Kusikia Kutoka Kwa Mungu Kila Asubuhi

Soma Biblia Kila Siku Machi 2021

Soma Biblia Kila Siku Julai 2021

Upendo Wa Bure

Soma Biblia Kila Siku 10

Soma Biblia Kila Siku Februari 2021
