Soma Biblia Kila Siku 8Mfano

Kama ilivyokuwa upande wa baraka, ndivyo ilivyo upande wa laana pia. Ziko mikononi mwa Bwana, na atazileta usipotaka kuisikia sauti ya BWANA, Mungu wako, usiyaangalie kufanya maagizo yake yote na amri zake (m.15). M.16-29 inasema kuwa laana zitamfuata yeyote popote atakapokuwapo kama asipoisikia sauti ya Bwana. Angalia manano mazito yafuatayo, BWANA atakuletea laana … BWANA atakuambatanisha na tauni … BWANA atakupiga … BWANA atakufanya … (m.20-29). SALA: ”Bwana, usituingize kamwe chini ya laana zako”.
Andiko
Kuhusu Mpango huu

Soma Biblia Kila Siku 8 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia sehemu kwa sehemu kila siku hasa katika kitabu cha Matendo ya Mitume, Kumbukumbu la Torati, na Yohana pamoja na maelezo yatakayokusaidia kutafakari na kuelewa Neno la Mungu kwa urahisi.
More
Tunapenda kumshukuru Soma Biblia kwa kutoa mpango huu. Kwa habari zaidi, tafadhali tembelea: http://www.somabiblia.or.tz
Mipangilio yanayo husiana

Soma Biblia Kila Siku 12

Soma Biblia Kila Siku 9

MWANGA Kuvutiwa Maishani Na Mwanga Ajabu Wa Mungu

Soma Biblia Kila Siku 06/2020

BibleProject | Safari ya Kujifunza Kutoka Luka Na Matendo

Soma Biblia Kila Siku Aprili 2021

Soma Biblia Kila Siku Machi 2021

Soma Biblia Kila Siku 10

Soma Biblia Kila Siku 11
