Soma Biblia Kila Siku 8Mfano

Uharibifu wa shetani unaonekana kuwa jambo la kawaida na halali, tunapoona karibu kila mtu mume au mke wakiwa na wapenzi nje ya ndoa zao. Hofu ya Mungu imetoweka kwa wengi katika suala la mawasiliano ya mapenzi nje ya ndoa. Tufanyeje? Somo la leo linatuonyesha njia: Furahia daima mahaba yake ambaye ulioana naye! Mwenye busara anatia nguvu katika kuboresha maisha yake ya kindoa aliyo nayo. Hivyo mwenzako atapendeza kama paa, nawe hutasikia kiu ya kunywa maji ya kisima kingine.
Andiko
Kuhusu Mpango huu

Soma Biblia Kila Siku 8 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia sehemu kwa sehemu kila siku hasa katika kitabu cha Matendo ya Mitume, Kumbukumbu la Torati, na Yohana pamoja na maelezo yatakayokusaidia kutafakari na kuelewa Neno la Mungu kwa urahisi.
More
Tunapenda kumshukuru Soma Biblia kwa kutoa mpango huu. Kwa habari zaidi, tafadhali tembelea: http://www.somabiblia.or.tz
Mipangilio yanayo husiana

Soma Biblia Kila Siku 12

Soma Biblia Kila Siku 9

MWANGA Kuvutiwa Maishani Na Mwanga Ajabu Wa Mungu

Soma Biblia Kila Siku 06/2020

BibleProject | Safari ya Kujifunza Kutoka Luka Na Matendo

Soma Biblia Kila Siku Aprili 2021

Soma Biblia Kila Siku Machi 2021

Soma Biblia Kila Siku 10

Soma Biblia Kila Siku 11
