Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Maelezo ya mpango

40 Siku pamoja na YesuMfano

40 Siku pamoja na Yesu

SIKU 1 YA 40

Mwanzo

Mwanzo 1:1 - 26:5; Isaya 52:7-53:12

  1. Je, Ni kwa jinsi gani Mungu alihusiana na wanadamu hapo Mwanzo? 
  2. Je, Abraham aliitikiaje Mungu alipozungumza naye?
  3. Je, nami ninaitikiaje?
siku 2

YouVersion hutumia vidakuzi kubinafsisha matumizi yako. Kwa kutumia tovuti yetu, unakubali matumizi yetu ya vidakuzi kama ilivyoelezwa katika Sera yetu ya Faragha