Waroma 9:17
Waroma 9:17 Biblia Habari Njema (BHN)
Maana Maandiko Matakatifu yasema hivi kwa Farao: “Nilikufanya mfalme ili kwa njia yako, uwezo wangu ujulikane, na jina langu litangazwe popote duniani.”
Shirikisha
Soma Waroma 9Waroma 9:17 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Kwa maana Maandiko yasema juu ya Farao, ya kwamba, Nilikusimamisha kwa kusudi hili, ili nioneshe nguvu zangu kwako, jina langu likatangazwe katika nchi yote.
Shirikisha
Soma Waroma 9