Waroma 4:5
Waroma 4:5 Biblia Habari Njema (BHN)
Lakini mtu asiyetegemea matendo yake mwenyewe, bali anamwamini Mungu ambaye huwasamehe waovu, basi, Mungu huijali imani ya mtu huyo, akamkubali kuwa mwadilifu.
Shirikisha
Soma Waroma 4Waroma 4:5 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Lakini kwa mtu asiyefanya kazi, bali anamwamini yeye ambaye amhesabia haki asiyekuwa mtauwa, imani yake mtu huyo imehesabiwa kuwa haki.
Shirikisha
Soma Waroma 4