Waroma 4:15
Waroma 4:15 Biblia Habari Njema (BHN)
Sheria husababisha ghadhabu; lakini kama hakuna sheria, haiwezekani kuivunja.
Shirikisha
Soma Waroma 4Waroma 4:15 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Kwa sababu sheria ndiyo ifanyayo hasira; maana pasipokuwapo sheria, hapana kosa.
Shirikisha
Soma Waroma 4