Waroma 4:13
Waroma 4:13 Biblia Habari Njema (BHN)
Mungu alimwahidi Abrahamu na wazawa wake kwamba ulimwengu ungekuwa mali yao. Ahadi hiyo haikufanywa kwa sababu Abrahamu aliitii sheria, bali kwa kuwa aliamini, akakubaliwa kuwa mwadilifu.
Shirikisha
Soma Waroma 4Waroma 4:13 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Kwa maana ahadi ile ya kwamba atakuwa mrithi wa ulimwengu alipewa Abrahamu na uzao wake, si kwa sheria bali kwa haki aliyohesabiwa kwa imani.
Shirikisha
Soma Waroma 4