Waroma 16:7 - Linganisha Matoleo Yote
Waroma 16:7 BHN (Biblia Habari Njema)
Salamu zangu kwa Androniko na Yunia, wananchi wenzangu waliofungwa gerezani pamoja nami; wao wanajulikana sana kati ya mitume; tena walikuwa Wakristo kabla yangu mimi.
Shirikisha
Waroma 16 BHNWaroma 16:7 SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Nisalimieni Androniko na Yunia, jamaa zangu, waliofungwa pamoja nami, ambao ni maarufu miongoni mwa mitume; nao walikuwa katika Kristo kabla yangu.
Shirikisha
Waroma 16 SUVWaroma 16:7 SRUV (Swahili Revised Union Version)
Nisalimieni Androniko na Yunia, jamaa zangu, waliofungwa pamoja nami, ambao ni maarufu miongoni mwa mitume; nao walikuwa katika Kristo kabla yangu.
Shirikisha
Waroma 16 SRUVWaroma 16:7 NEN (Neno)
Wasalimuni Androniko na Yunia, jamaa zangu ambao wamekuwa gerezani pamoja nami. Wao ni maarufu miongoni mwa mitume, nao walikuwa katika Kristo kabla yangu.
Shirikisha
Waroma 16 NEN