Waroma 16:26 - Linganisha Matoleo Yote
Waroma 16:26 BHN (Biblia Habari Njema)
Lakini, sasa ukweli huo umefunuliwa kwa njia ya maandiko ya manabii; na kwa amri ya Mungu wa milele umedhihirishwa kwa mataifa yote ili wote waweze kuamini na kutii.
Shirikisha
Waroma 16 BHNWaroma 16:26 SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
ikadhihirishwa wakati huu kwa maandiko ya manabii, ikajulikana na mataifa yote kama alivyoamuru Mungu wa milele, ili waitii Imani.
Shirikisha
Waroma 16 SUVWaroma 16:26 SRUV (Swahili Revised Union Version)
ikadhihirishwa wakati huu kwa maandiko ya manabii, ikajulikana na mataifa yote kama alivyoamuru Mungu wa milele, ili waitii Imani.
Shirikisha
Waroma 16 SRUVWaroma 16:26 NEN (Neno)
Lakini sasa siri hiyo imefunuliwa na kujulikana kupitia maandiko ya kinabii kutokana na amri ya Mungu wa milele, ili mataifa yote yaweze kumwamini na kumtii
Shirikisha
Waroma 16 NEN