Waroma 14:5
Waroma 14:5 Biblia Habari Njema (BHN)
Mtu anaweza kufikiria siku fulani kuwa ya maana zaidi kuliko nyingine; mtu mwingine aweza kuzifikiria siku zote kuwa sawa. Kila mmoja na afuate msimamo wa akili yake.
Shirikisha
Soma Waroma 14Waroma 14:5 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Mtu mmoja afanya tofauti kati ya siku na siku, mwingine aona siku zote kuwa sawasawa. Kila mtu na athibitike katika akili zake mwenyewe.
Shirikisha
Soma Waroma 14