Waroma 14:23
Waroma 14:23 Biblia Habari Njema (BHN)
Lakini mtu anayeona shaka juu ya chakula anachokula, anahukumiwa kama akila, kwa sababu msimamo wa kitendo chake haumo katika imani. Na, chochote kisicho na msingi wake katika imani ni dhambi.
Shirikisha
Soma Waroma 14Waroma 14:23 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Lakini aliye na mashaka, kama akila, amehukumiwa kuwa ana hatia, kwa maana hakula kwa imani. Na kila tendo lisilotoka katika imani ni dhambi.
Shirikisha
Soma Waroma 14