Waroma 14:18
Waroma 14:18 Biblia Habari Njema (BHN)
Anayemtumikia Kristo namna hiyo humpendeza Mungu, na kukubaliwa na watu.
Shirikisha
Soma Waroma 14Waroma 14:18 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Kwa kuwa yeye amtumikiaye Kristo katika mambo hayo humpendeza Mungu, tena hukubaliwa na wanadamu.
Shirikisha
Soma Waroma 14