Waroma 14:15
Waroma 14:15 Biblia Habari Njema (BHN)
Kama ukimhuzunisha ndugu yako kwa sababu ya chakula unachokula, basi mwenendo wako hauongozwi na upendo. Usikubali hata kidogo chakula chako kiwe sababu ya kupotea kwa mtu mwingine ambaye Kristo alikufa kwa ajili yake!
Shirikisha
Soma Waroma 14Waroma 14:15 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Na ndugu yako akichukizwa kwa sababu ya chakula, umeacha kwenda katika upendo. Kwa chakula chako usimharibu mtu yule ambaye Kristo alikufa kwa ajili yake.
Shirikisha
Soma Waroma 14