Waroma 14:11
Waroma 14:11 Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia (SUV)
Kwa kuwa imeandikwa, Kama niishivyo, anena Bwana, kila goti litapigwa mbele zangu; Na kila ulimi utamkiri Mungu.
Shirikisha
Soma Waroma 14Waroma 14:11 Biblia Habari Njema (BHN)
Maana Maandiko yanasema: “Kama niishivyo, asema Bwana, kila mtu atanipigia magoti, na kila mmoja atakiri kwamba mimi ni Mungu.”
Shirikisha
Soma Waroma 14Waroma 14:11 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Kwa kuwa imeandikwa, Kama niishivyo, anena Bwana, kila goti litapigwa mbele zangu; Na kila ulimi utamkiri Mungu.
Shirikisha
Soma Waroma 14