Ufunuo 6:2
Ufunuo 6:2 Biblia Habari Njema (BHN)
Mimi nikatazama, na kumbe palikuwa na farasi mmoja mweupe hapo. Na mpandafarasi wake alikuwa na upinde, akapewa na taji. Basi, akatoka kama mshindi, aendelee kushinda.
Shirikisha
Soma Ufunuo 6Ufunuo 6:2 Biblia Habari Njema (BHN)
Mimi nikatazama, na kumbe palikuwa na farasi mmoja mweupe hapo. Na mpandafarasi wake alikuwa na upinde, akapewa na taji. Basi, akatoka kama mshindi, aendelee kushinda.
Shirikisha
Soma Ufunuo 6Ufunuo 6:2 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Nikaona, na tazama, farasi mweupe, na yeye aliyempanda ana uta, akapewa taji, naye akatoka, huku akishinda tena apate kushinda.
Shirikisha
Soma Ufunuo 6