Zaburi 65:1-2 - Compare All Versions
Zaburi 65:1-2 BHN (Biblia Habari Njema)
Wastahili sifa, ee Mungu, huko Siyoni, watu watakutimizia wewe ahadi zao, maana wewe wajibu sala zetu. Binadamu wote watakujia wewe.
Shirikisha
Zaburi 65 BHNZaburi 65:1-2 SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Ee Mungu, sifa zakulaiki katika Sayuni, Na kwako Wewe itaondolewa nadhiri. Wewe usikiaye kuomba, Wote wenye mwili watakujia.
Shirikisha
Zaburi 65 SUVZaburi 65:1-2 SRUV (Swahili Revised Union Version)
Ee Mungu, wastahili sifa katika Sayuni, Na kwako Wewe itaondolewa nadhiri. Wewe usikiaye maombi, Wote wenye mwili watakujia.
Shirikisha
Zaburi 65 SRUVZaburi 65:1-2 NEN (Neno)
Ee Mungu, sifa zakungojea katika Sayuni; kwako wewe nadhiri zetu zitatimizwa. Ewe usikiaye maombi, watu wote watakuja kwako wewe.
Shirikisha
Zaburi 65 NEN