Zaburi 37:37
Zaburi 37:37 Biblia Habari Njema (BHN)
Mwangalie mtu mwema, mtu mwadilifu; mtu anayependa amani hujaliwa wazawa.
Shirikisha
Soma Zaburi 37Zaburi 37:37 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Umwangalie sana mtu mkamilifu, Umtazame mtu mnyofu, Maana mwisho wake mtu huyo ni amani.
Shirikisha
Soma Zaburi 37