Zaburi 36:6
Zaburi 36:6 Biblia Habari Njema (BHN)
Uadilifu wako ni kama milima mikubwa, hukumu zako ni kama vilindi vya bahari. Wewe, ee Mwenyezi-Mungu, wawalinda wanadamu na wanyama
Shirikisha
Soma Zaburi 36Zaburi 36:6 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Haki yako ni kama milima ya Mungu, Hukumu zako ni vilindi vikuu, Ee BWANA, unawalinda wanadamu na wanyama.
Shirikisha
Soma Zaburi 36