Zaburi 19:13
Zaburi 19:13 Biblia Habari Njema (BHN)
Unikinge mimi mtumishi wako na makosa ya makusudi, usikubali hayo yanitawale. Hapo nitakuwa mkamilifu, wala sitakuwa na hatia ya kosa kubwa.
Shirikisha
Soma Zaburi 19Zaburi 19:13 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Umzuie mtumishi wako asitende mambo ya kiburi, Yasinitawale mimi. Ndipo nitakapokuwa kamili, Nami nitakuwa safi, sina kosa lililo kubwa.
Shirikisha
Soma Zaburi 19