Zaburi 127:3
Zaburi 127:3 Biblia Habari Njema (BHN)
Watoto ni riziki kutoka kwa Mwenyezi-Mungu; watoto ni tuzo lake kwetu sisi.
Shirikisha
Soma Zaburi 127Zaburi 127:3 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Tazama, watoto ni urithi kutoka kwa BWANA, Uzao wa tumbo ni thawabu.
Shirikisha
Soma Zaburi 127