Zaburi 119:84
Zaburi 119:84 Biblia Habari Njema (BHN)
Mimi mtumishi wako nitasubiri mpaka lini? Utawaadhibu lini wale wanaonidhulumu?
Shirikisha
Soma Zaburi 119Zaburi 119:84 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Siku za mtumishi wako ni ngapi, Lini utakapowahukumu wale wanaonifuatia?
Shirikisha
Soma Zaburi 119