Zaburi 119:43-45
Zaburi 119:43-45 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Usiliondoe neno la kweli kinywani mwangu kamwe, Maana nimezingojea hukumu zako. Nami nitaitii sheria yako daima, Naam, milele na milele. Nami nitakwenda kwa uhuru, Kwa kuwa nimejifunza mausia yako.
Shirikisha
Soma Zaburi 119Zaburi 119:43-45 Biblia Habari Njema (BHN)
Unijalie kusema ukweli wako daima, maana tumaini langu liko katika maagizo yako. Nitatii sheria yako daima, nitaishika milele na milele. Nitaishi katika uhuru kamili, maana nazitilia maanani kanuni zako.
Shirikisha
Soma Zaburi 119Zaburi 119:43-45 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Usiliondoe neno la kweli kinywani mwangu kamwe, Maana nimezingojea hukumu zako. Nami nitaitii sheria yako daima, Naam, milele na milele. Nami nitakwenda kwa uhuru, Kwa kuwa nimejifunza mausia yako.
Shirikisha
Soma Zaburi 119