Zaburi 119:20-21 - Compare All Versions
Zaburi 119:20-21 BHN (Biblia Habari Njema)
Roho yangu yaugua kwa hamu kubwa ya kutaka kujua daima maagizo yako. Wewe wawakemea wenye kiburi, walaanifu, ambao wanakiuka amri zako.
Shirikisha
Zaburi 119 BHNZaburi 119:20-21 SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Roho yangu imepondeka kwa kutamani Hukumu zako kila wakati. Umewakemea wenye kiburi, Wamelaaniwa waendao mbali na maagizo yako.
Shirikisha
Zaburi 119 SUVZaburi 119:20-21 SRUV (Swahili Revised Union Version)
Roho yangu imepondeka kwa kutamani Hukumu zako kila wakati. Umewakemea wenye kiburi, Wamelaaniwa waendao mbali na maagizo yako.
Shirikisha
Zaburi 119 SRUVZaburi 119:20-21 NEN (Neno)
Nafsi yangu inataabika kwa shauku kubwa kwa sheria zako wakati wote. Unawakemea wenye majivuno, waliolaaniwa, wanaoenda mbali na amri zako.
Shirikisha
Zaburi 119 NEN