Zaburi 119:14-16
Zaburi 119:14-16 Biblia Habari Njema (BHN)
Nafurahi kufuata maamuzi yako, kuliko kuwa na utajiri mwingi. Nazitafakari kanuni zako, na kuzizingatia njia zako. Nayafurahia masharti yako; sitalisahau neno lako.
Shirikisha
Soma Zaburi 119Zaburi 119:14-16 Biblia Habari Njema (BHN)
Nafurahi kufuata maamuzi yako, kuliko kuwa na utajiri mwingi. Nazitafakari kanuni zako, na kuzizingatia njia zako. Nayafurahia masharti yako; sitalisahau neno lako.
Shirikisha
Soma Zaburi 119Zaburi 119:14-16 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Nimeifurahia njia ya shuhuda zako Kana kwamba ni mali mengi. Nitayatafakari maagizo yako, Na kuziangalia njia zako. Nitajifurahisha sana kwa amri zako, Sitalisahau neno lako.
Shirikisha
Soma Zaburi 119