Zaburi 119:12-13
Zaburi 119:12-13 Biblia Habari Njema (BHN)
Utukuzwe, ee Mwenyezi-Mungu! Unifundishe masharti yako. Nitayarudia kwa sauti maagizo yako yote uliyotoa.
Shirikisha
Soma Zaburi 119Zaburi 119:12-13 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Ee BWANA, umehimidiwa, Unifundishe amri zako. Kwa midomo yangu nimezisimulia Hukumu zote za kinywa chako.
Shirikisha
Soma Zaburi 119