Zaburi 119:12-13 - Compare All Versions
Zaburi 119:12-13 BHN (Biblia Habari Njema)
Utukuzwe, ee Mwenyezi-Mungu! Unifundishe masharti yako. Nitayarudia kwa sauti maagizo yako yote uliyotoa.
Shirikisha
Zaburi 119 BHNZaburi 119:12-13 SRUV (Swahili Revised Union Version)
Ee BWANA, umehimidiwa, Unifundishe amri zako. Kwa midomo yangu nimezisimulia Hukumu zote za kinywa chako.
Shirikisha
Zaburi 119 SRUVZaburi 119:12-13 SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Ee BWANA, umehimidiwa, Unifundishe amri zako. Kwa midomo yangu nimezisimulia Hukumu zote za kinywa chako.
Shirikisha
Zaburi 119 SUVZaburi 119:12-13 NEN (Neno)
Uhimidiwe, Ee BWANA; nifundishe maagizo yako. Kwa midomo yangu nitasimulia sheria zote zinazotoka katika kinywa chako.
Shirikisha
Zaburi 119 NEN