Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Methali 2:21-22 - Compare All Versions

Methali 2:21-22 BHN (Biblia Habari Njema)

Maana wanyofu wataipata nchi, na waaminifu watadumu ndani yake. Lakini waovu wataondolewa nchini, na wenye hila watangolewa humo.

Shirikisha
Methali 2 BHN

Methali 2:21-22 SRUV (Swahili Revised Union Version)

Maana wanyofu watakaa katika nchi, Na wakamilifu watadumu ndani yake. Bali waovu watatengwa na nchi, Nao wafanyao hila watang'olewa.

Shirikisha
Methali 2 SRUV

Methali 2:21-22 SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)

Maana wanyofu watakaa katika nchi, Na wakamilifu watadumu ndani yake. Bali waovu watatengwa na nchi, Nao wafanyao hila watang’olewa.

Shirikisha
Methali 2 SUV

Methali 2:21-22 NEN (Neno)

Kwa maana wanyofu wataishi katika nchi, nao wasio na lawama watabakia ndani yake. Bali waovu watakatiliwa mbali kutoka nchi, nao wasio waaminifu watangʼolewa kutoka humo.

Shirikisha
Methali 2 NEN