Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Methali 16:12 - Compare All Versions

Methali 16:12 BHN (Biblia Habari Njema)

Ni chukizo kubwa wafalme kutenda uovu, maana msingi wa mamlaka yao ni haki.

Shirikisha
Methali 16 BHN

Methali 16:12 SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)

Wafalme wakitenda yasiyo haki ni chukizo; Maana kiti cha enzi huthibitika kwa haki.

Shirikisha
Methali 16 SUV

Methali 16:12 SRUV (Swahili Revised Union Version)

Wafalme wakitenda yasiyo haki ni chukizo; Maana kiti cha enzi huthibitika kwa haki.

Shirikisha
Methali 16 SRUV

Methali 16:12 NEN (Neno)

Wafalme huchukia sana kutenda maovu, kwa maana kiti cha ufalme hufanywa imara kupitia haki.

Shirikisha
Methali 16 NEN