Mathayo 5:25
Mathayo 5:25 Neno: Bibilia Takatifu (NEN)
“Patana na mshtaki wako upesi wakati uwapo njiani pamoja naye kwenda mahakamani, ili mshtaki wako asije akakutia mikononi mwa hakimu, naye hakimu akakutia mikononi mwa askari, nawe ukatupwa gerezani.
Shirikisha
Soma Mathayo 5Mathayo 5:25 Biblia Habari Njema (BHN)
“Patana na mshtaki wako upesi mkiwa bado njiani kwenda mahakamani. La sivyo, mshtaki wako atakukabidhi kwa hakimu, naye hakimu atakukabidhi kwa askari, nawe utafungwa gerezani.
Shirikisha
Soma Mathayo 5