Mathayo 3:3
Mathayo 3:3 Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia (SUV)
Kwa sababu huyo ndiye aliyenenwa na nabii Isaya, akisema, Sauti ya mtu aliaye nyikani, Itengenezeni njia ya Bwana, Yanyosheni mapito yake.
Shirikisha
Soma Mathayo 3Mathayo 3:3 Biblia Habari Njema (BHN)
Huyu Yohane ndiye yule ambaye nabii Isaya alinena juu yake aliposema: “Sauti ya mtu anaita jangwani: ‘Mtayarishieni Bwana njia yake, nyosheni barabara zake.’”
Shirikisha
Soma Mathayo 3Mathayo 3:3 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Kwa sababu huyo ndiye aliyenenwa na nabii Isaya, akisema, Sauti ya mtu aliaye nyikani, Itengenezeni njia ya Bwana, Yanyosheni mapito yake.
Shirikisha
Soma Mathayo 3