Mathayo 3:1-2
Mathayo 3:1-2 Biblia Habari Njema (BHN)
Siku zile Yohane Mbatizaji alitokea, akaanza kuhubiri katika jangwa la Yudea: “Tubuni, maana ufalme wa mbinguni umekaribia.”
Shirikisha
Soma Mathayo 3Mathayo 3:1-2 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Siku zile aliondokea Yohana Mbatizaji akihubiri katika nyika ya Yudea, na kusema, Tubuni; kwa maana ufalme wa mbinguni umekaribia.
Shirikisha
Soma Mathayo 3