Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mathayo 26:63 - Compare All Versions

Mathayo 26:63 BHN (Biblia Habari Njema)

Lakini Yesu akakaa kimya. Kuhani mkuu akamwambia, “Nakuapisha kwa Mungu aliye hai, tuambie kama wewe ndiwe Kristo, Mwana wa Mungu!”

Shirikisha
Mathayo 26 BHN

Mathayo 26:63 SRUV (Swahili Revised Union Version)

Lakini, Yesu akanyamaza. Kuhani Mkuu akamwambia, Nakuapisha kwa Mungu aliye hai, utuambie kama wewe ndiwe Kristo, Mwana wa Mungu.

Shirikisha
Mathayo 26 SRUV

Mathayo 26:63 SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)

Lakini, Yesu akanyamaza. Kuhani Mkuu akamwambia, Nakuapisha kwa Mungu aliye hai, utuambie kama wewe ndiwe Kristo, Mwana wa Mungu.

Shirikisha
Mathayo 26 SUV

Mathayo 26:63 NEN (Neno)

Lakini Yesu akakaa kimya. Ndipo kuhani mkuu akamwambia, “Nakuapisha mbele za Mungu aliye hai. Tuambie kama wewe ndiwe Kristo, Mwana wa Mungu.”

Shirikisha
Mathayo 26 NEN