Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mathayo 26:63

Mathayo 26:63 NEN

Lakini Yesu akakaa kimya. Ndipo kuhani mkuu akamwambia, “Nakuapisha mbele za Mungu aliye hai. Tuambie kama wewe ndiwe Kristo, Mwana wa Mungu.”