Mathayo 2:4 - Compare All Versions
Mathayo 2:4 BHN (Biblia Habari Njema)
Basi, akawaita pamoja makuhani wakuu wote na waalimu wa sheria, akawauliza, “Kristo atazaliwa wapi?”
Shirikisha
Mathayo 2 BHNMathayo 2:4 SRUV (Swahili Revised Union Version)
Akakusanya wakuu wa makuhani wote na waandishi wa watu, akatafuta habari kwao, Kristo azaliwa wapi?
Shirikisha
Mathayo 2 SRUVMathayo 2:4 SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Akakusanya wakuu wa makuhani wote na waandishi wa watu, akatafuta habari kwao, Kristo azaliwa wapi?
Shirikisha
Mathayo 2 SUVMathayo 2:4 NEN (Neno)
Herode akawaita pamoja viongozi wa makuhani na walimu wa sheria, akawauliza ni wapi ambapo Kristo angezaliwa.
Shirikisha
Mathayo 2 NEN