Mathayo 2:15
Mathayo 2:15 Biblia Habari Njema (BHN)
Akakaa huko mpaka Herode alipokufa. Jambo hilo lilifanyika ili neno alilosema Bwana kwa njia ya nabii litimie: “Nilimwita Mwanangu kutoka Misri.”
Shirikisha
Soma Mathayo 2Mathayo 2:15 Biblia Habari Njema (BHN)
Akakaa huko mpaka Herode alipokufa. Jambo hilo lilifanyika ili neno alilosema Bwana kwa njia ya nabii litimie: “Nilimwita Mwanangu kutoka Misri.”
Shirikisha
Soma Mathayo 2Mathayo 2:15 Swahili Revised Union Version (SRUV)
akakaa huko hadi Herode alipokufa; ili litimie neno lililonenwa na Bwana kwa ujumbe wa nabii, akisema, Kutoka Misri nilimwita mwanangu.
Shirikisha
Soma Mathayo 2