Mathayo 17:22-23
Mathayo 17:22-23 Biblia Habari Njema (BHN)
Walipokuwa pamoja huko Galilaya, Yesu aliwaambia, “Mwana wa Mtu atakabidhiwa kwa watu. Watamuua, lakini siku ya tatu atafufuliwa.” Wanafunzi wakahuzunika mno.
Shirikisha
Soma Mathayo 17Mathayo 17:22-23 Biblia Habari Njema (BHN)
Walipokuwa pamoja huko Galilaya, Yesu aliwaambia, “Mwana wa Mtu atakabidhiwa kwa watu. Watamuua, lakini siku ya tatu atafufuliwa.” Wanafunzi wakahuzunika mno.
Shirikisha
Soma Mathayo 17Mathayo 17:22-23 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Nao walipokuwa wakikaa Galilaya, Yesu akawaambia, Mwana wa Adamu anakwenda kutiwa katika mikono ya watu, nao watamwua, na siku ya tatu atafufuka. Wakasikitika sana.
Shirikisha
Soma Mathayo 17