Mathayo 16:19
Mathayo 16:19 Neno: Bibilia Takatifu (NEN)
Nitakupa funguo za Ufalme wa mbinguni, na lolote utakalolifunga duniani litakuwa limefungwa Mbinguni, nalo lolote utakalofungua duniani litakuwa limefunguliwa mbinguni.”
Shirikisha
Soma Mathayo 16Mathayo 16:19 Biblia Habari Njema (BHN)
Nitakupa funguo za ufalme wa mbinguni; kila utakachofunga duniani, kitafungwa pia mbinguni; kila utakachofungua duniani, kitafunguliwa pia mbinguni.”
Shirikisha
Soma Mathayo 16