Luka 2:7
Luka 2:7 Biblia Habari Njema (BHN)
akajifungua mtoto wake wa kwanza wa kiume, akamvika nguo za kitoto, akamlaza horini kwa sababu hawakupata nafasi katika nyumba ya wageni.
Shirikisha
Soma Luka 2Luka 2:7 Swahili Revised Union Version (SRUV)
akamzaa mwanawe, kifungua mimba, akamvika nguo za kitoto, akamlaza katika hori ya kulia ng'ombe, kwa sababu hawakupata nafasi katika nyumba ya wageni.
Shirikisha
Soma Luka 2