Yohane 7:18
Yohane 7:18 Neno: Bibilia Takatifu 2025 (NENO)
Wale wanenao kwa ajili yao wenyewe hufanya hivyo kwa kutaka utukufu wao wenyewe. Lakini yeye atafutaye utukufu wa yule aliyemtuma ni wa kweli, wala hakuna uongo ndani yake.
Shirikisha
Soma Yohane 7Yohane 7:18 Biblia Habari Njema (BHN)
Yeye anayejisemea tu mwenyewe anatafuta sifa yake mwenyewe; lakini anayetafuta sifa ya yule aliyemtuma, huyo ni mwaminifu, na ndani yake hamna uovu wowote.
Shirikisha
Soma Yohane 7Yohane 7:18 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Yeye anenaye kwa nafsi yake tu hutafuta utukufu wake mwenyewe; bali yeye anayetafuta utukufu wake aliyemtuma, huyo ni wa kweli, wala ndani yake hamna udhalimu.
Shirikisha
Soma Yohane 7