Nembo ya Programu ya Biblia
Ikoni ya Utafutaji

Yeremia 51:56 - Linganisha Matoleo Yote

Yeremia 51:56 BHN (Biblia Habari Njema)

Naam, mwangamizi anaijia Babuloni; askari wake wametekwa, pinde zao zimevunjwavunjwa. Mimi Mwenyezi-Mungu ni Mungu mwenye kuadhibu, hakika mimi nitalipiza kisasi kamili.

Shirikisha
Yeremia 51 BHN

Yeremia 51:56 SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)

Kwa maana mwenye kuangamiza amefika kwake; Naam, amefika Babeli; Na mashujaa wake wametwaliwa; Pinde zao zimevunjika kabisa; Maana BWANA ni Mungu wa kisasi; Hakika yake yeye atalipa.

Shirikisha
Yeremia 51 SUV

Yeremia 51:56 SRUV (Swahili Revised Union Version)

Kwa maana mwenye kuangamiza amefika kwake; Naam, amefika Babeli; Na mashujaa wake wametwaliwa; Pinde zao zimevunjika kabisa; Maana BWANA ni Mungu wa kisasi; Hakika yake yeye atalipa.

Shirikisha
Yeremia 51 SRUV

Yeremia 51:56 NEN (Neno)

Mwangamizi atakuja dhidi ya Babeli; mashujaa wake watakamatwa, nazo pinde zao zitavunjwa. Kwa kuwa BWANA ni Mungu wa kisasi, yeye atalipiza kikamilifu.

Shirikisha
Yeremia 51 NEN