Yakobo 5:8-9
Yakobo 5:8-9 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Nanyi vumilieni, mthibitishe mioyo yenu, kwa maana kuja kwake Bwana kunakaribia. Ndugu, msinung'unikiane, msije mkahukumiwa. Angalieni, mwamuzi amesimama mbele ya milango.
Shirikisha
Soma Yakobo 5Yakobo 5:8-9 Biblia Habari Njema (BHN)
Nanyi pia mnapaswa kuwa na subira; imarisheni mioyo yenu, maana siku ya kuja kwake Bwana inakaribia. Ndugu zangu, msinung'unikiane nyinyi kwa nyinyi msije mkahukumiwa na Mungu. Hakimu yu karibu, tayari kuingia.
Shirikisha
Soma Yakobo 5Yakobo 5:8-9 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Nanyi vumilieni, mthibitishe mioyo yenu, kwa maana kuja kwake Bwana kunakaribia. Ndugu, msinung'unikiane, msije mkahukumiwa. Angalieni, mwamuzi amesimama mbele ya milango.
Shirikisha
Soma Yakobo 5