Yakobo 4:2
Yakobo 4:2 Biblia Habari Njema (BHN)
Mnatamani vitu na kwa vile hamvipati mko tayari kuua; mwatamani sana kupata vitu, lakini hamvipati; hivyo mnagombana na kupigana. Hampati kile mnachotaka kwa sababu hamkiombi kwa Mungu.
Shirikisha
Soma Yakobo 4Yakobo 4:2 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Mwatamani, wala hamna kitu, mwaua na kuona wivu, wala hamwezi kupata. Mwafanya vita na kupigana, wala hamna kitu kwa kuwa hamwombi!
Shirikisha
Soma Yakobo 4